Club ya manchester united leo imekamilisha usajili wa beki wa kati raia wa sweden ambae alikuwa anakipiga hapo awali katika club ya benfica victor lindeof kwa ada ya uhamisho wa euro millioni 30. Mchezaji huyo mweye umri wa miaka 22, utakuwa usajili wa kwanza wa josemourinho katika dirisha hili la usajili.
Hamza matwany Jezi ya barcelona ya msimu wa 18/19 ambayo inatengezwa na kampuni ya vifaa vya michezo vya nike imevuja mtandaoni. Jezi hiyo ambayo inafanana na jezi ambayo ilitumiwa na club hiyo mwaka 1998 miaka 20 nyuma imetengezwa katika namna hiyo ili kuenzi legends kwa klabu hiyo Jezi ya nyumbani itakuwa ina wekundu na mistari ya blue na bukta nyeusi pia socks zake ni nyeusi kama inavyoonekana kwenye hizo picha
Comments
Post a Comment