Kocha mpya wa barcelona amefanya usajili wake wa kwanza kwa mchezaji marlon santon
Kwa mkataba wa miaka mitatu(3)
Raia huyo wa brazil alikuwa kwa mkopo katika klabu ya flumenense ya huko brazil kabla ya kujiunga na senior timu ya barcelona msimu huu.
Marlon santon ni mbrazil mwenye umri wa miaka 21 amelelewa katika soccer academy ya barcelona(lamarcia)
Hamza matwany Jezi ya barcelona ya msimu wa 18/19 ambayo inatengezwa na kampuni ya vifaa vya michezo vya nike imevuja mtandaoni. Jezi hiyo ambayo inafanana na jezi ambayo ilitumiwa na club hiyo mwaka 1998 miaka 20 nyuma imetengezwa katika namna hiyo ili kuenzi legends kwa klabu hiyo Jezi ya nyumbani itakuwa ina wekundu na mistari ya blue na bukta nyeusi pia socks zake ni nyeusi kama inavyoonekana kwenye hizo picha
Comments
Post a Comment