Hamzamatwany.
Msimu uliopita timu ya chelsea ilikuwa moja ya club bora kwenye ligi ya EPL lakini hali imekuwa tofauti katika msimu huu. :
Lakini haya matokeo ambayo si yakuridhisha kwenye club hiyo yameletwa na antonio conte ambae ni manager wa miamba hiyo ya darajani
BAADHI YA VITU ALIVYOFANYA. :
Antonie conte alimuachia diego costa ambae alikuwa top score kwa msimu ulioisha kwa ngazi ya club yake na kutimkia atletico madrid, na mbadala wake alifanikiwa kumsajili @alvaromorata kutoka madrid ili kuziba pengo hilo lakini hali imekuwa tofauti kwenye performances ,Alvaro morata ameshindwa kuziba pengo la costa. :
katika usajili wa mwezi januari alimnunua @oliviergiroudofficial kutoka arsenal ili kusaidiana kuziba pengo hilo lakini bado haijawezekna, alimsajili pia kiungo mshambuliaji @rossbarkley lakini mpka sasa mchezaji huyo ajatumika kwenye club hiyo. :
Antonio conte anataka kuuaminisha ulimwengu kwamba @davidluiz_4 na @garyjcahill si mabeki wazuri mbele ya @andreaschristensen3 na ludiger Hapana ila janja janja zake ndo zinaiponza timu. pia alimsajili @Emerson kutoka Roma lakini hajatumika kwenye club hiyo mpaka sasa :
Antonio conte alimuuza matic kwenda manchester united na alimsajili @bakayoko_official14 kutoka monaco kuwa mbadala wake ila mpaka sasa hajafanikiwa kuziba pengo hilo na pia hata @dannydrinkwater ameshindwa kuvaa viatu vya matic. :
Any way conte anastahili kuwajibika na chelsea alipoifikisha
Comments
Post a Comment