Skip to main content

ALLY MAYAY TEMBELE ACHUKUWA FOMU YA URAIS TFF

Hatimaye Ally Mayay Tembele amechukua fomu ya kuwania Urais wa TFF.

Mayai sasa atachuana na Jamal Malinzi ambaye anashikilia nafasi hiyo.

Lakini wako Athumani Nyamlani, Omar Madega na Wallace Karia ambao atalazimika kufanya kazi ya ziada kuwazidi.

Mayai ambaye amewahi kuwa nahodha wa Yanga alisindikizwa na wachezaji mbalimbali wa zamani wakiongozwa na Athumani Tippo, Jamhuri Kihwelo 'Julio'.

19Jun2017

Comments

Popular posts from this blog

JEZI YA NYUMBANI YA BARCELONA MSIMU WA 2018/2019 IMEVUJA MTANDAONI

Hamza matwany Jezi ya barcelona ya msimu wa 18/19 ambayo inatengezwa na kampuni ya vifaa vya michezo vya nike imevuja mtandaoni. Jezi hiyo ambayo inafanana na jezi ambayo ilitumiwa na club hiyo mwaka 1998 miaka 20  nyuma imetengezwa katika namna hiyo ili kuenzi legends kwa klabu hiyo Jezi ya nyumbani itakuwa ina wekundu na mistari ya blue na bukta nyeusi pia socks zake ni nyeusi kama inavyoonekana kwenye hizo picha

USAJILI MPYA UNITED

Club ya manchester united leo imekamilisha usajili wa beki wa kati raia wa sweden ambae alikuwa anakipiga hapo awali katika club  ya benfica victor lindeof kwa ada ya uhamisho wa euro millioni 30. Mchezaji huyo mweye umri wa miaka 22, utakuwa usajili wa kwanza wa josemourinho katika dirisha hili la usajili.