Skip to main content

FURAHA JANGWANI

NYOTA WATATU WA KIGENI WAONGEZA MKATABA MNONO YANGA SC:

Katika purukushani za usajili ndani ya vilabu mbalimbali hapa bongo tunaendelea kusikia team mbali mbali zinasajili kwa kasi kweli kweli kama Azam , Simba , Kagera sugar , Singida united na kadhilika ila YANGA Imeonekana kuwa kimya kweny hili swala la usajili na kushtusha baadhi ya mashabiki..... Zilitokea tetesi na kusambaa sana kwenye mitandao kuwa Haruna Hakizimana kiungo number 8 wa Yanga  amesaini kandaras ya miaka miwili Simba Sc Lakin sisi tulimpigia simu na kumuhoji akasema hizo  taarifa hazina ukweli ni uzushi tuu pia hana mpango wa kuichezea simba kabsa kama akimaliza mkataba wake na YANGA wasipomuongeza ni bora akacheze team za nyumbani kwake (Mimi nitaichezea Yanga mpaka kustaafu soka).....

Sasa basi kwa taarifa iliyopo ni kwamba nyota hao watatu wa kigeni wameongeza mkataba ndan ya club ya YANGA SC...

Haruna Hakizimana Niyonzima : kiungo number 8 maridadi kabsa ndani ya club ya yanga ameongeza mkataba wa miaka miwili msimu wa 2017/2018 kucheza ligikuu ya Tanzania..

Thabani Scara Kamusoko: kiungo number 6 maridadi kabsa ndani ya club ya yanga ameongeza mkataba wa miaka miwili msimu wa 2017/2018 kucheza ligikuu Tanzania..

Obrey Cholla Chirwa: Mshambuliaji maridadi kabsa kutokea Zimbabwe club ya fc platnumz ameongeza mkataba wa miaka miwili huku akiwa ana mkataba wa mwaka mmoja msimu huu 2017/2018 bado ataendelea kuichezea yanga Tanzania..

Pia taarifa zilizopo ni kwamba Donald ngoma, Amiss Tambwe na Vicent Bossou hawajataka kuongeza mkataba ndani ya club ya Young Africans ....

Lakin kwa upande wa wazawa wachezaji wengi wameongeza mkataba ila inasemeka alieongeza mkataba mnono zaidi ni beki number 4 wa club hiyo na captain wa team "Nadir Haroub Ally" almaarufu kama Cannavaro yey ametia kandarasi ya miaka mitatu kuendelea kuichezea yanga tangu ajiunge na club hiyo mwaka 2006 kutokea Zanzibar mpak sasa ana miaka 11 jangwani......

Comments

Popular posts from this blog

JEZI YA NYUMBANI YA BARCELONA MSIMU WA 2018/2019 IMEVUJA MTANDAONI

Hamza matwany Jezi ya barcelona ya msimu wa 18/19 ambayo inatengezwa na kampuni ya vifaa vya michezo vya nike imevuja mtandaoni. Jezi hiyo ambayo inafanana na jezi ambayo ilitumiwa na club hiyo mwaka 1998 miaka 20  nyuma imetengezwa katika namna hiyo ili kuenzi legends kwa klabu hiyo Jezi ya nyumbani itakuwa ina wekundu na mistari ya blue na bukta nyeusi pia socks zake ni nyeusi kama inavyoonekana kwenye hizo picha

KOCHA WA STARS ATANGAZA KIKOSI CHA COSAFA

Kocha Mkuu wa timu ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Salum Shabani Mayanga,  Jumatano Juni 14, 2017 ametangaza majina ya wachezaji 22 watakaounda kikosi kinachokwenda kushindana kuwania Kombe la Castle Cosafa nchini Afrika Kusini. Taifa Stars inayodhaminiwa na Bia ya Serengeti, inatarajiwa kuanza kambi rasmi kesho Jumapili Juni 18, mwaka huu. Kambi hiyo itakuwa kwenye Hoteli ya Urban Rose, iliyoko Mtaa wa Jamhuri katikati ya jiji la Dar es Salaam. Taifa Stars inajiandaa na michuano ya Cosafa inayotarajiwa kuanza Juni 25, mwaka huu. Michuano hiyo, inaandaliwa na Baraza la Mpira wa Miguu la nchi za Kusini mwa Afrika ambako Tanzania – mwanachama wa Cecafa, imepata mwaliko kushiriki. Tanzania imepangwa kundi A ambako wapinzani wake ni Mauritius, Malawi na Angola wakati Kundi B ni Msumbiji, Shelisheli, Madagascar na Zimbabwe. Timu za Botswana, Zambia na Afrika Kusini kadhalika Namibia, Lesotho na Swaziland zitakuwa na mechi maalumu (play off) ili kuingia robo fainali. Kwa mujibu wa Mayanga...

DEMBELE OUT WIKI 4

Hamza matwany Madaktari wa klabu ya barcelona wamethibitisha osmanè dembele raia wa ufaransa atakuwa nje kwa wiki 3 hadi 4 kutokana na majeraha ya msuli ambayo aliyapata kwenye mechi dhidi ya real socieded kwenye uwanja wa anoeta jumapili Mchezaji huyo akiwa ametoka kwenye majeraha ya muda mrefu baada ya kukaa nje kwa miezi minne tangu alipoumia mwezi wa nane kwenye mechi dhidi ya getafe. Madaktari wa klabu wamethibitisha majeraha hayo hayata athiri lile jeraha lake la kwanza la upasuaji alilofanya mwezi wa 8 Bado osmane dembele ajakuwa na wakati mzuri kutokana na majehara hayo yanamsumbua.