Skip to main content

MAAMUZI WALIYOPEWA MAREFA KABLA YA MASHINDANO YA CONFEDERATION CUP RUSSIA

Michuano ya 10 ya FIFA Confederation Cup inatarajiwa kuanza ndani ya siku zijazo nchini Russia, nchi ambayo ina kesi nyingi za ubaguzi wa rangi katika viwanja vya soka.

Kutokana na jambo hilo, marefa watakaongoza michezo ya michuano hiyo wamepewa mamlaka  ya kusimamisha na kuvunja mchezo ikiwa watathibitisha suala lolote la ubaguzi wa rangi katika FIFA Confederations Cup.
Uamuzi huu ni moja ya sehemu ya 3 ambazo zinampa mwamuzi nguvu ya kusimamisha mchezo mpaka kuuiharisha mchezo kabisa kutoka vitendo visivyo vya kimichezo vya mashabiki. 
Chombo cha mamlaka ya juu ya soka kitaweka waangalizi wa vitendo vya kibaguzi. 
“Hizi ni hatua tunazochukua kupambana na masuala ya ubaguzi kwenye soka,” – alisema Rais wa FIFA Gianni Infantino. 

Mashindano ya mwaka 2017 ya Confederations Cup ni ya 10 tangu yalipoanza na hushirikisha bingwa wa kila bara, mshindi wa kombe la dunia na pamoja mwenyeji wa michuano. 

Comments

Popular posts from this blog

JEZI YA NYUMBANI YA BARCELONA MSIMU WA 2018/2019 IMEVUJA MTANDAONI

Hamza matwany Jezi ya barcelona ya msimu wa 18/19 ambayo inatengezwa na kampuni ya vifaa vya michezo vya nike imevuja mtandaoni. Jezi hiyo ambayo inafanana na jezi ambayo ilitumiwa na club hiyo mwaka 1998 miaka 20  nyuma imetengezwa katika namna hiyo ili kuenzi legends kwa klabu hiyo Jezi ya nyumbani itakuwa ina wekundu na mistari ya blue na bukta nyeusi pia socks zake ni nyeusi kama inavyoonekana kwenye hizo picha

KOCHA WA STARS ATANGAZA KIKOSI CHA COSAFA

Kocha Mkuu wa timu ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Salum Shabani Mayanga,  Jumatano Juni 14, 2017 ametangaza majina ya wachezaji 22 watakaounda kikosi kinachokwenda kushindana kuwania Kombe la Castle Cosafa nchini Afrika Kusini. Taifa Stars inayodhaminiwa na Bia ya Serengeti, inatarajiwa kuanza kambi rasmi kesho Jumapili Juni 18, mwaka huu. Kambi hiyo itakuwa kwenye Hoteli ya Urban Rose, iliyoko Mtaa wa Jamhuri katikati ya jiji la Dar es Salaam. Taifa Stars inajiandaa na michuano ya Cosafa inayotarajiwa kuanza Juni 25, mwaka huu. Michuano hiyo, inaandaliwa na Baraza la Mpira wa Miguu la nchi za Kusini mwa Afrika ambako Tanzania – mwanachama wa Cecafa, imepata mwaliko kushiriki. Tanzania imepangwa kundi A ambako wapinzani wake ni Mauritius, Malawi na Angola wakati Kundi B ni Msumbiji, Shelisheli, Madagascar na Zimbabwe. Timu za Botswana, Zambia na Afrika Kusini kadhalika Namibia, Lesotho na Swaziland zitakuwa na mechi maalumu (play off) ili kuingia robo fainali. Kwa mujibu wa Mayanga...

DEMBELE OUT WIKI 4

Hamza matwany Madaktari wa klabu ya barcelona wamethibitisha osmanè dembele raia wa ufaransa atakuwa nje kwa wiki 3 hadi 4 kutokana na majeraha ya msuli ambayo aliyapata kwenye mechi dhidi ya real socieded kwenye uwanja wa anoeta jumapili Mchezaji huyo akiwa ametoka kwenye majeraha ya muda mrefu baada ya kukaa nje kwa miezi minne tangu alipoumia mwezi wa nane kwenye mechi dhidi ya getafe. Madaktari wa klabu wamethibitisha majeraha hayo hayata athiri lile jeraha lake la kwanza la upasuaji alilofanya mwezi wa 8 Bado osmane dembele ajakuwa na wakati mzuri kutokana na majehara hayo yanamsumbua.