Skip to main content

Posts

DUNIA YA SOCCER IMEJIFUNZA KITU.

Hamza matwany Usiku wa tarehe 10 &11-2018 ulikuwa moja ya siku ambazo timu kutoka SERIE A zimeonyesha kwamba mpira ni dakika 90 kwa mechi moja lakini ni 180 kwenye hatua ya mtoano hasa kwenye Champions league . Roma na juventus zilionekana timu ambazo mechi zao za marudiano zitakuwa rahisi kutokana na matokeo ambayo waliyapata mechi zao za kwanza Juve alipoteza mechi yake ya kwanza akiwa nyumbani kwa jumla ya goli 3-0 dhidi ya miamba ya jiji la madrid na Roma alifungwa 4-1 pale Nou camp. Mechi za marudio barcelona alimfuata Roma pale stadio olimpio na Roma alifanikiwa kupata ushindi wa goli 3-0 hivyo kufanya agg 4-4 na goli la ugenini lilimpa nafasi ya kusonga mbele. madrid alimkaribisha Juventus pale Stadio de bernabeu huku madrid wakimkosa naodha wake sergio ramos na Juventus wakimkosa paul dybala wote hao wakiwekwa nje kwa kadi. lakini juve aliusimamisha usiku kama Roma alivyofanya kwa kumfunga madrid goli 3-1 hivyo kufanya agg 4-3 , kitu ambacho hakikutazamwa na wengi kweny...
Recent posts

NAMFAHAMU VIZURI ABRAMOVICH CONTE JIANDAE

Hamza matwani chelsea ni moja ya club duniani zinazomilikiwa na mtu binafsi ambae ni Roman abramovich , lakini boss huyo anatambulika kwa kutoweza kumvulia kocha ikiwa timu inapata matokeo mabaya japo kwa msimu mmoja : Antonio conte anakuwa kocha wa 16 kuifundisha chelsea toka mwaka 2000 kwa wastani kila kocha amedumu kwenye club hiyo kwa mwaka mmoja na mwezi mmoja. : makocha mashughuli duniani wamepita kwenye club hiyo tangu mwaka 2000 mfano josë mourinho, fellipe scolari, claudio ranieri, Rafa benitez, Guus huddink, Andre villa boas, carlo anceloti, steve holland, ray wilkins , Roberto di mateo na wengine wengi. :  Antonio conte mkataba wake unamalizika mwaka 2021 lakini sitarajii kuona akimaliza mkataba huo kwa muda husika bila kutupiwa vilago vyako. : unamkumbuka Roberto di mateo kocha pekee aliewapa taji la UEFA club hiyo kwa kupita katika migongo ya timu ngumu duniani akifanya come back ya historia pale darajani kwa kuwafunga napoli jumla ya goli 4-1baada ya kufungwa...

JANJA JANJA ZA CONTE ZINAVYOIKWAMISHA CHELSEA

Hamzamatwany. Msimu uliopita timu ya chelsea ilikuwa moja ya club bora kwenye ligi ya EPL lakini hali imekuwa tofauti katika msimu huu. : Lakini haya matokeo ambayo si yakuridhisha kwenye club hiyo yameletwa na antonio conte ambae ni manager wa miamba hiyo ya darajani BAADHI YA VITU ALIVYOFANYA. : Antonie conte alimuachia diego costa ambae alikuwa top score kwa msimu ulioisha kwa ngazi ya club yake na kutimkia atletico madrid, na mbadala wake alifanikiwa kumsajili @alvaromorata  kutoka madrid ili kuziba pengo hilo lakini hali imekuwa tofauti kwenye performances ,Alvaro morata ameshindwa kuziba pengo la costa. : katika usajili wa mwezi januari alimnunua @oliviergiroudofficial kutoka arsenal ili kusaidiana kuziba pengo hilo lakini bado haijawezekna, alimsajili pia kiungo mshambuliaji @rossbarkley lakini mpka sasa mchezaji huyo ajatumika kwenye club hiyo. : Antonio conte anataka kuuaminisha ulimwengu kwamba  @davidluiz_4 na @garyjcahill  si mabeki wazuri mbele ya @and...

UNYONGE WA ROMA ULIVYOWAPELEKA SEMI FINAL

Na Hamza matwany. Roma usiku wa tarehe 10/7/2018 ameweza kuushangaza ulimwengu kwa kile kitendo cha kumtoa fc Barcelona kwenye hatua ya robo fainali kwa kupindua matokeo ambapo mwanzoni alifungwa goli 4-1 nou camp na kufanikiw Kushinda goli 3-0 pale stadio olimpio jijini Roma. wapenzi wengi wa mchezo huu hawakumpa nafasi Roma kwenda hatua inayofuata katika michuano hii kwa sababu tu ndo timu pekee ilionekana kama dhaifu kwa timu zilizoingia hatua ya robo fainali. Roma ambae alipita kwa sharkter donestk kwa changamoto ya goli la ugenini lakini katika makundi alipita katika timu kama chelsea , Atletico Madrid na katika timu hizo kote alipata matokeo yaliyomsaidia kufika katika hatua hizi. Barcelona waliingia katika mchezo wakiwa na spirit ya kwamba mchezo umeisha toka nou camp ,walicheza kwa kujiamini kwamba hakuna maajabu yoyote yanaweza kutokea kwa vile tu walimchukulia kama mnyonge , huku wakiwa wamesahau kwamba hawajawahi kushinda katika stadio olimpio katika mechi 3 za mwisho a...

HII HAPA RATIBA RASMI YA WORLD CUP 2018 RUSSIA

Hamza matwany Group A :Russia, Saudi Arabia, Egypt, Uruguay  Group B: Portugal, Spain, Morocco, Iran  Group C: France, Australia, Peru, Denmark  Group D: Argentina, Iceland, Croatia, Nigeria  Group E: Brazil, Switzerland, Costa Rica, Serbia  Group F:- Germany, Mexico, Sweden, South Korea  Group G:-  Belgium, Panama, Tunisia, England  Group H: Poland, Senegal, Colombia, Japan THURSDAY, June 14/6/2018 1.RUSSIA vs SAUDI ARABIA  (8:30pm) FRIDAY, June 15/6/2018 2.EGYPT vs URUGUAY (5:30pm) 3.Morocco vs Iran (8:30pm) 4.Portugal vs Spain (11:30pm) SATURDAY, June 16/6/2018 5.FRANCE vs AUSTRALIA (3:30pm) 6.ARGENTINA vs ICELAND  (6:30pm) 7.PERU vs DENMARK (9:30pm) 8.CROATIA vs NIGERIA (5:30pm) SUNDAY, June 17/6/2018 9.COSTA RICA vs SERBIA (12:30am) 10.GERMANY vs MEXICO (8:30pm) 11.BRAZIL vs SWITZERLAND (11:30pm) MONDAY, June 18/6/2018 12.SWEDEN vs SOUTH KOREA (5:30pm 13.BELGIUM vs PANAMA 8:30pm 14.TUNISIA vs ENGLAND 11:30p...

FAHAMU MACHACHE KUHUSIANA NA EPL

Na Muller Idriss Wakati michezo mbalimbali inaendelea kupigwa katika viwanja mbalimbali nchini Uingereza ikiwa ni muendelezo wa ligi kuu ya nchi hiyo maarufu kama EPL, Fahamu mambo kadha wa kadha kuhusiana na ligi hiyo:- Manchester United ndiyo timu iliyotwaa ubingwa wa ligi hyo mara nyingi kuliko timu yoyote nchini humo.Imetwaa ubingwa wa ligi hiyo mara 13 tangu mwaka 1992. Lakini pia Man united ndio timu timu iliyoweka rekodi ya kutwaa ubingwa huo  mara tatu mfululizo mnamo msimu wa mwaka 1998-99,199-2000 na 2000-2001 na waliifikia rekodi yao wenyewe mnamo mwaka 2006-07,2007-08 na 2008-09 Rekodi nyingine ni ya kutwaa ubingwa wa epl kwa tofauti ya pointi kubwa. Rekodi hiyo inashikiliwa na klabu ya Manchester United ambapo ilitwaa ubingwa huo kwa tofauti ya pointi 18 baada ya kufikisha pointi 91 wakifuatiwa na Arsenal ambao walifikisha pointi 73. Hiyo ikiwa ni tofauti kubwa ya pointi, tofauti ndogo kabisa ni tofauti ya pointi 0 ambayo iliwekwa mwaka 2011-12 ambapo Manchester c...