Skip to main content

Posts

Showing posts from June, 2017

ALLY MAYAY TEMBELE ACHUKUWA FOMU YA URAIS TFF

Hatimaye Ally Mayay Tembele amechukua fomu ya kuwania Urais wa TFF. Mayai sasa atachuana na Jamal Malinzi ambaye anashikilia nafasi hiyo. Lakini wako Athumani Nyamlani, Omar Madega na Wallace Karia ambao atalazimika kufanya kazi ya ziada kuwazidi. Mayai ambaye amewahi kuwa nahodha wa Yanga alisindikizwa na wachezaji mbalimbali wa zamani wakiongozwa na Athumani Tippo, Jamhuri Kihwelo 'Julio'. 19 Jun2017

MAAMUZI WALIYOPEWA MAREFA KABLA YA MASHINDANO YA CONFEDERATION CUP RUSSIA

Michuano ya 10 ya FIFA Confederation Cup inatarajiwa kuanza ndani ya siku zijazo nchini Russia, nchi ambayo ina kesi nyingi za ubaguzi wa rangi katika viwanja vya soka. Kutokana na jambo hilo, marefa watakaongoza michezo ya michuano hiyo wamepewa mamlaka  ya kusimamisha na kuvunja mchezo ikiwa watathibitisha suala lolote la ubaguzi wa rangi katika FIFA Confederations Cup. Uamuzi huu ni moja ya sehemu ya 3 ambazo zinampa mwamuzi nguvu ya kusimamisha mchezo mpaka kuuiharisha mchezo kabisa kutoka vitendo visivyo vya kimichezo vya mashabiki.  Chombo cha mamlaka ya juu ya soka kitaweka waangalizi wa vitendo vya kibaguzi.  “Hizi ni hatua tunazochukua kupambana na masuala ya ubaguzi kwenye soka,” – alisema Rais wa FIFA Gianni Infantino.  Mashindano ya mwaka 2017 ya Confederations Cup ni ya 10 tangu yalipoanza na hushirikisha bingwa wa kila bara, mshindi wa kombe la dunia na pamoja mwenyeji wa michuano. 

USAJILI MPYA EVERTON

Baada ya kukamilisha usajili wa golikipa pickford . Everton wamekamilisha usajili wa kiungo toka club ya Fc ajax ya holland davy klaassen kwa uhamisho wa €27m Ambae alioongoza club hyo mpaka fainali ya ueropa league msimu uliomalizika kabla kufungwa na manchester united Yeye akiwa kama captain ya club hyo

FURAHA JANGWANI

NYOTA WATATU WA KIGENI WAONGEZA MKATABA MNONO YANGA SC: Katika purukushani za usajili ndani ya vilabu mbalimbali hapa bongo tunaendelea kusikia team mbali mbali zinasajili kwa kasi kweli kweli kama Azam , Simba , Kagera sugar , Singida united na kadhilika ila YANGA Imeonekana kuwa kimya kweny hili swala la usajili na kushtusha baadhi ya mashabiki..... Zilitokea tetesi na kusambaa sana kwenye mitandao kuwa Haruna Hakizimana kiungo number 8 wa Yanga  amesaini kandaras ya miaka miwili Simba Sc Lakin sisi tulimpigia simu na kumuhoji akasema hizo  taarifa hazina ukweli ni uzushi tuu pia hana mpango wa kuichezea simba kabsa kama akimaliza mkataba wake na YANGA wasipomuongeza ni bora akacheze team za nyumbani kwake (Mimi nitaichezea Yanga mpaka kustaafu soka)..... Sasa basi kwa taarifa iliyopo ni kwamba nyota hao watatu wa kigeni wameongeza mkataba ndan ya club ya YANGA SC... Haruna Hakizimana Niyonzima : kiungo number 8 maridadi kabsa ndani ya club ya yanga ameongeza mkataba wa m...

FURAHA JANGWANI

NYOTA WATATU WA KIGENI WAONGEZA MKATABA MNONO YANGA SC: Katika purukushani za usajili ndani ya vilabu mbalimbali hapa bongo tunaendelea kusikia team mbali mbali zinasajili kwa kasi kweli kweli kama Azam , Simba , Kagera sugar , Singida united na kadhilika ila YANGA Imeonekana kuwa kimya kweny hili swala la usajili na kushtusha baadhi ya mashabiki..... Zilitokea tetesi na kusambaa sana kwenye mitandao kuwa Haruna Hakizimana kiungo number 8 wa Yanga  amesaini kandaras ya miaka miwili Simba Sc Lakin sisi tulimpigia simu na kumuhoji akasema hizo  taarifa hazina ukweli ni uzushi tuu pia hana mpango wa kuichezea simba kabsa kama akimaliza mkataba wake na YANGA wasipomuongeza ni bora akacheze team za nyumbani kwake (Mimi nitaichezea Yanga mpaka kustaafu soka)..... Sasa basi kwa taarifa iliyopo ni kwamba nyota hao watatu wa kigeni wameongeza mkataba ndan ya club ya YANGA SC... Haruna Hakizimana Niyonzima : kiungo number 8 maridadi kabsa ndani ya club ya yanga ameongeza mkataba wa m...

ALLY SHOMARI ASAJILIWA SIMBA

Rasmi; beki wa kulia wa mtibwa sugar Allyshomari amejiunga na club ya simba sport clu b Kwa mkataba wa miaka miwili ambao atatumikia club hyo mpaka mwaka 2019. Kwa simba huo ni muendelezo baada ya kuwasajili wachezaji kadhaa akiwemo Aishi manula_azam fc Shomar kapombe_azam fc John bocco_azam fc Na wengine ambao tayari wametua klabuni hapo  ikiwa ni maandalizi ya msimu ujao pamoja na mechi za kimataifa

VALVEDE KOCHA MPYA WA BARCELONA AFANYA USAJILI WAKE WA KWANZA

Kocha mpya wa barcelona amefanya usajili wake wa kwanza kwa mchezaji marlon santon Kwa mkataba wa miaka mitatu(3) Raia huyo wa brazil alikuwa kwa mkopo katika klabu ya flumenense ya huko brazil kabla ya kujiunga na senior timu ya barcelona msimu huu. Marlon santon ni mbrazil mwenye umri wa miaka 21 amelelewa katika soccer academy ya barcelona( lamarcia )

MAYWEATHER VS MC GREGOR

Magwiji wawili katika mchezo wa "boxing" Floydmayweather na  UCF star Mc gregor watazichapa katika usiku wa tarehe August 26 huko Las vegas Huku kila upande ukihitaji $100 ili kupigana katika pambano hilo. Floydmayweather ndie mwanamichezo tajiri kwa sasa duniani.

RONALDO NA KASHFA KAMA YA MESSI

Unakumbuka ile kesi ambayo ilimkumba Lioneil Messi na mamlaka za mapato za nchini Hispania hadi akapigwa faini ya euro 2m pamoja na kifungo cha nje? sasa kesi ile imehamia kwa mpinzani mkubwa wa Messi ambaye ni Cristiano Ronaldo. Taarifa zinasema kwa muda sasa toka mwaka 2011 hadi 2014 nyota huyo wa timu ya Real Madrid amekuwa akikwepa kulipa kodi ambapo zaidi ya kiasi cha kodi cha euro 14m amekwepa kulipa katika kipindi hicho. Tofauti na Lioneil Messi lakini kwa Ronaldo kosa lake ni kubwa sana kwani wapelelezi wa kesi yake wanadai mshambuliaji huyo alifungua hadi kampuni kwa jina jipya ili kukwepa kulipa kodi na kiasi ambacho Ronaldo amekwepa ni mara 3 ya kile kilichomtia Lioneil Messi matatani. Messi kesi yake ilikuwa ni ukwepaji wa kodi kiasi cha euro 4.1m huku Cristiano Ronaldo ikiwa ni euro 16m, na Messi na baba yake walihukumiwa adhabu ya miezi 21 na faini ya euro 2m hali inayoonesha Ronaldo anaweza kukabiliwa na adhabu kubwa zaidi. Ronaldo mwenyewe akizungumzia tukio hilo nc...

RATIBA YA EPL 2017/2018 HII HAPA

Agosti 26 Arsenal v Leicester City Brighton and Hove Albion v Manchester City Chelsea v Burnley Crystal Palace v Huddersfield Town Everton v Stoke City Manchester United v West Ham United Newcastle United v Tottenham Hotspur Southampton v Swansea City Watford v Liverpool West Bromwich Albion v Bournemouth Agosti 19 Bournemouth v Watford Burnley v West Bromwich Albion Huddersfield Town v Newcastle United Leicester City v Brighton and Hove Albion Liverpool v Crystal Palace Manchester City v Everton Stoke City v Arsenal Swansea City v Manchester United Tottenham Hotspur v Chelsea West Ham United v Southampton Agosti 26 Bournemouth v Manchester City Chelsea v Everton Crystal Palace v Swansea City Huddersfield Town v Southampton Liverpool v Arsenal Manchester United v Leicester City Newcastle United v West Ham United Tottenham Hotspur v Burnley Watford v Brighton and Hove Albion West Bromwich Albion v Stoke City Septemba 9 Arsenal v Bournemouth Brighto...

UTARATIBU MPYA WA USAJILI WA MAWAKALA WA WACHEZAJI

Baada ya kufutwa utaratibu wa mawakala ‘agents’ wa wachezaji wa kulipwa, Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), lilitangaza utaratibu mpya wa kukasimu majukumu hayo kwenye ngazi ya mashirikisho kwa kila taifa. Hivyo kwa mwaka 2016/2017, hakuna usajili wala uhamisho uliofanywa na watu wa kati yaani intermediaries wanaotambulika na TFF. TFF - Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania, linakwenda sambamba na utaratibu huo wa mabadiliko na kwa sasa linakamilisha mipango ya kusajili watu wa kati wa usajili watakaofahamika kama intermediaries. Usahili wa kati utatangazwa baada ya kikao cha Kamati ya Utendaji kitakachojadili kanuni za watu wa kati hapo baadaye.

KOCHA WA STARS ATANGAZA KIKOSI CHA COSAFA

Kocha Mkuu wa timu ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Salum Shabani Mayanga,  Jumatano Juni 14, 2017 ametangaza majina ya wachezaji 22 watakaounda kikosi kinachokwenda kushindana kuwania Kombe la Castle Cosafa nchini Afrika Kusini. Taifa Stars inayodhaminiwa na Bia ya Serengeti, inatarajiwa kuanza kambi rasmi kesho Jumapili Juni 18, mwaka huu. Kambi hiyo itakuwa kwenye Hoteli ya Urban Rose, iliyoko Mtaa wa Jamhuri katikati ya jiji la Dar es Salaam. Taifa Stars inajiandaa na michuano ya Cosafa inayotarajiwa kuanza Juni 25, mwaka huu. Michuano hiyo, inaandaliwa na Baraza la Mpira wa Miguu la nchi za Kusini mwa Afrika ambako Tanzania – mwanachama wa Cecafa, imepata mwaliko kushiriki. Tanzania imepangwa kundi A ambako wapinzani wake ni Mauritius, Malawi na Angola wakati Kundi B ni Msumbiji, Shelisheli, Madagascar na Zimbabwe. Timu za Botswana, Zambia na Afrika Kusini kadhalika Namibia, Lesotho na Swaziland zitakuwa na mechi maalumu (play off) ili kuingia robo fainali. Kwa mujibu wa Mayanga...

UZI MPYA WA REAL MADRID 2017/2018

Real madrid mabingwa wa uefa champions laegue mara 12 wametangaza jezi zao mpya watakazotumia nyumbani na ugenini kwa msimu wa 2017/2018 kwa mashindano yao yote. Kama kawaida yao jezi ya nyumbani itakuwa nyeupe na yenye michirizi ya blue wakati ugenini watatumia nyeusi   zenye michirizi  ya blue

USAJILI MPYA UNITED

Club ya manchester united leo imekamilisha usajili wa beki wa kati raia wa sweden ambae alikuwa anakipiga hapo awali katika club  ya benfica victor lindeof kwa ada ya uhamisho wa euro millioni 30. Mchezaji huyo mweye umri wa miaka 22, utakuwa usajili wa kwanza wa josemourinho katika dirisha hili la usajili.